IDHAA YA KISWAHILI | DW
Có thể bạn quan tâm
- Nenda kwenye maudhui
- Nenda kwenye orodha kuu
- Nenda tovuti zaidi za DW
- Vidio zetu
- Sauti zetu
- Tanzania
- Kenya
- Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
- Afrika
- Ulaya
- Haki za binadamu
- Mazingira
- Afya
- Teknolojia
- Matukio ya Kisiasa
- Masuala ya Jamii
- Michezo
Habari Kuu

Israel yafanya mashambulizi mengine dhidi ya Iran
Siasa10.03.202610 Machi 2026Iran: Viongozi wa EU wajadili vita, bei ya mafuta yapaa
Migogoro09.03.20269 Machi 2026Iran yaingia enzi mpya ya uongozi huku vita ikizidi kuenea
Siasa09.03.20269 Machi 2026Mojtaba anakabiliwa na kitisho kipi baada ya uteuzi wake?
Siasa09.03.20269 Machi 202603:43 dakikaUkurasa 1 kati ya 3MatangazoRuka sehemu inayofuata HabariHabari
10.03.202610 Machi 2026Ujerumani yawaondoa wafanyakazi wa ubalozi wake Baghdad
10.03.202610 Machi 2026Mkutano kuhusu nishati ya nyuklia kuanza Ufaransa
10.03.202610 Machi 2026Mtoa misaada Mfaransa akamatwa Jamhuri ya Afrika ya Kati
10.03.202610 Machi 2026Maalfu ya watu hatarini operesheni ya jeshi Sudan Kusini
10.03.202610 Machi 2026UAE yaipongeza Marekani kuhusu Udugu wa Kiislamu Sudan
09.03.20269 Machi 2026Kenya kutumia hadi bilioni 20 kutanua uwanja wa JKIA
Onesha zaidiRuka sehemu inayofuata Mtazamo wa kinaMtazamo wa kina
Matukio ya Afrika
Safu ya makala inayochambua kwa kina habari, siasa, jamii na uchumi wa Afrika, ikiangazia matukio muhimu, mwelekeo wa sasa na athari zake kwa bara na dunia.
Mfumo wa afya Sudan Kusini uko taabani
Mfumo wa afya Sudan Kusini uko taabani
Sudan Kusini inatajwa na shirika la Transparency International kuwa moja ya mataifa yenye viwango vya juu vya rushwa.Afya09.03.20269 Machi 2026Watu 100 wafariki kwenye maporomoko, DRC
Watu 100 wafariki kwenye maporomoko, DRC
Kongo pia inakabiliwa na migogoro inayochochewa na rasilimali nyingi za madini kama vile koltani, dhahabu na bati.Migogoro09.03.20269 Machi 2026Idadi ya vifo kutokana na mvua nchini Kenya yafikia 42
Idadi ya vifo kutokana na mvua nchini Kenya yafikia 42
Utafiti wa World Weather Attribution wa 2024 uligundua kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yanasababisha mvua kubwa.Janga09.03.20269 Machi 2026Gundua zaidiRuka sehemu inayofuata Ripoti na uchambuziRipoti na uchambuzi
Ujerumani
Ujerumani yashindwa kurejesha wahamiaji wengi waliokataliwa
Takriban asilimia 60 ya mipango ya kuwarejesha wahamiaji kutoka Ujerumani haikutekelezwa mwaka uliopita.Uhamiaji07.03.20267 Machi 2026Zaidi kutoka UjerumaniAfrika
Maono ya Abiy kuhusu Ethiopia yazusha mgawanyiko
Msukumo wake wa kutaka Ethiopia ipate tena njia ya moja kwa moja ya kufikia bahari unaweza kuchochea mvutano mpya.Siasa07.03.20267 Machi 2026Zaidi kutoka AfrikaAsia
Chama cha mwimbaji wa rap chaongoza uchaguzi wa Nepal
Chama cha mwimbaji wa mtindo wa rap nchini Nepal aliyegeuka na kuwa mwanasiasa Balendra Shah, kinaongoza.Siasa06.03.20266 Machi 2026Ulaya
Uagizaji silaha Ulaya waongezeka kutokana na vita Ukraine
Mtiririko wa silaha Ulaya uliongezeka zaidi ya mara tatu ya uagizaji.Siasa09.03.20269 Machi 2026Zaidi kutoka UlayaMashariki ya Kati
Mashambulizi ya anga yasababisha moto mkubwa Tehran
Israel imesema imelenga miundombinu inayotumiwa na IRGC katika oparesheni za kijeshi dhidi ya Israel na washirika wake.Migogoro08.03.20268 Machi 2026Zaidi kutoka Mashariki ya KatiAmerika ya Kaskazini
Picha mpya zaashiria huenda Marekani ilishambulia shule
Wakosoaji wanasema mashambulizi kama hayo ni ukiukwaji mkubwa kabisa wa sheria za kimataifa.Uhalifu09.03.20269 Machi 2026Zaidi kutoka Amerika ya KaskaziniRuka sehemu inayofuata Mtazamo wa kinaMtazamo wa kina
Unaweza kusikiliza matangazo yetu hapa
Kusikiliza matangazo, tafadhali bonyeza alama ya spika ya masikioni hapo chini, na kuwasiliana nasi: [email protected]
Matangazo Mubashara
27.02.202627 Februari 2026Taarifa ya Habari za Asubuhi
Siasa27.02.202627 Februari 202608:00 dakikaRATIBA YA VIPINDI
Jamii19.01.202619 Januari 2026Taarifa zote 6MatangazoRuka sehemu inayofuata Habari kwa sautiHabari kwa sauti
10.03.2026 Matangazo ya Asubuhi
10.03.2026 Matangazo ya Asubuhi
Isreal na Iran bado zinaendelea kushambuliana huku vita hivyo vikizidi kuenea na kuongeza wasiwasi+++ Utafiti uliotolewa na REPOA umezidisha mjadala, kuhusu uhuru wa Mahakama katika kutoa haki ukizidi kulalamikiwa visiwani Zanzibar.10.03.202610 Machi 202624:00 dakikaRuka sehemu inayofuata Kipindi cha karibuni zaidiKipindi cha karibuni zaidi
Maelfu wajitokeza kusherehekea uteuzi wa Mojtaba Khamenei
To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 video
Maelfu wajitokeza kusherehekea uteuzi wa Mojtaba Khamenei
Vyombo vya habari vya serikali nchini Iran vimeripoti kuwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi IRGC na vikosi vingine vya usalama vimeahidi kumuunga mkono kiongozi mpya, Mojtaba Khamenei wakisema uteuzi wake unaleta uthabiti katika kipindi cha mgogoro.09.03.20269 Machi 202602:20 dakikaRuka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwaYenye kuangaziwa
Ulaji kupindukia wakati wa kufuturu na madhara yake
Njaa ya siku nzima hupelekea mtu kula kwa haraka na kupita kiasi wakati wa kufuturu.Jamii09.03.20269 Machi 2026Wajue vinara waliopigania haki za wanawake
Kuanzia Gisele Pelicot hadi Rosa Parks na Clara Zetkin: Hawa ndio wanawake 11 wanaopigania haki sawa kwa wanawake.Jamii09.03.20269 Machi 2026Picha 11Pembe ya Afrika 'uwanja wa mapigano' kwa wafalme wa Ghuba
Eneo hilo ni mojawapo ya njia za biashara zenye shughuli nyingi duniani kati ya Mfereji wa Suez na Bahari ya Hindi.Siasa07.03.20267 Machi 2026Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukioMasuala maalumu na matukio
Bonyeza hapa kutazama Matangazo Yetu
Jielimishe zaidiRuka sehemu inayofuata Mtazamo wa kinaMtazamo wa kina
Michezo
Pata habari na uchambuzi wa michezo.
Wolfsburg yamtimua kocha Bauer, yamrejesha Hecking
Wolfsburg yamtimua kocha Bauer, yamrejesha Hecking
Wolfsburg imemtimua kocha wake Daniel Bauer na kumteua Dieter Hecking.Michezo09.03.20269 Machi 2026Al Hilal Omdurman imetua Morocco kukipiga na RS Berkane
Al Hilal Omdurman imetua Morocco kukipiga na RS Berkane
Al Hilal Omdurman FC inajiandaa kwa moja ya mechi muhimu zaidi msimu huu, itakapoikabili RS Berkane.Michezo09.03.20269 Machi 2026Spurs wakabiliwa na shinikizo la Athletico
Spurs wakabiliwa na shinikizo la Athletico
Tottenham Hotspur wakabiliwa na shinikizo la kukabiliana na Athletico.Michezo09.03.20269 Machi 2026Gundua zaidiTừ khóa » Vita Vya Urusi Na Ukraine Video Mpya
-
Yaliyojiri Leo Katika Vita Vya Urusi Na Ukraine - YouTube
-
Yaliyojiri Leo Katika Vita Ya Urusi Na Ukraine - YouTube
-
Vita Vya Ukraine: Putin Asema Urusi Inapigania Ardhi Yake Ya Asili ...
-
Vita Vya Ukraine: Sioni Jinsi Wanajeshi Wa Urusi Watakavyoendelea
-
SIKU MBAYA YA PUTIN/VITA YA URUSI NA UKRAINE ILIGEUKA ...
-
Vifaru Vya Urusi Vilivyoshambuliwa Na Vikosi Vya Ukraine - YouTube
-
Vita Vya Ukraine:Video Yaonekana Kuonyesha Mauaji Ya ... - BBC
-
Lavrov Wa Urusi Asema Yuko Tayari Kuongeza Malengo Ya Vita - BBC
-
Urusi | IDHAA YA KISWAHILI | DW | 07.08.2022
-
Urusi: Habari, Podcasts, Video Na Uchambuzi - RFI
-
Scopri I Video Più Popolari Di Vita Ya Urusi Na Ukraine | TikTok
-
Biden Achora Mstari Mwekundu Vita Ya Urusi Na Ukraine "Asinijaribu"
-
Daniely Mtweve (@mc_mpangwahalisi) • Instagram Photos And Videos