Urusi | IDHAA YA KISWAHILI | DW | 07.08.2022

  1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
  • Vidio zetu
  • Sauti zetu
Maeneo
  • Tanzania
  • Kenya
  • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
  • Afrika
  • Ulaya
Mada
  • Haki za binadamu
  • Mazingira
  • Afya
  • Teknolojia
Kategoria
  • Matukio ya Kisiasa
  • Masuala ya Jamii
  • Michezo
YanayoangaziwaIranMzozo wa Kongo MasharikiMzozo wa Israel na HamasSauti zetuVidio zetuMatangazoRuka sehemu inayofuata Habari

Habari

06.03.20266 Machi 2026

Marekani yaidhinisha mauzo ya muda ya mafuta ya Urusi

06.03.20266 Machi 2026

Ukraine yaituhumu Hungary kwa utekaji

05.03.20265 Machi 2026

Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa 500 wa vita

05.03.20265 Machi 2026

Ukraine yasema Urusi imeishambulia meli ya mizigo ya kiraia

05.03.20265 Machi 2026

Ukraine ndiyo iliyozamisha meli yetu Libya - Urusi

04.03.20264 Machi 2026

Urusi yasema Ukraine imeshambulia meli yake Libya

Onesha zaidiRuka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi

Ripoti na Uchambuzi

Maafisa wa uokozi wa Ukraine wakipambana kuuzima moto kwenye meli baada ya shambulizi kwenye bandari ya Chornomorsk.

Ukraine yasema Urusi ilishambulia meli yake ya mizigo

Ukraine yasema Urusi ilishambulia meli yake ya mizigo

Meli hiyo, ilikuwa imebeba mahindi na imepata uharibifu mkubwa na baadhi ya wahudumu wake wamejeruhiwa.Migogoro05.03.20265 Machi 2026
Meli ya Urusi katika bahari ya kaskazini

Meli ya gesi ya Urusi yazamishwa

Meli ya gesi ya Urusi yazamishwa

Mvutano katika vita kati ya Urusi na Ukraine umeendelea kuenea nje ya uwanja wa mapigano. Siasa04.03.20264 Machi 2026
Washington D.C. Marekani 2026 | Rais wa Marekani Donald Trump na Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz

Trump asifu msimamo wa Ujerumani katika vita vya Iran

Trump asifu msimamo wa Ujerumani katika vita vya Iran

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani Donald Trump mjini Washington.Siasa04.03.20264 Machi 2026
Russland Moskau 2026 | Wladimir Putin verleiht Goldene Sterne an Teilnehmer der Militäroperation im Kreml

Urusi yapata pigo baada ya washirika wake kuuawa

Urusi yapata pigo baada ya washirika wake kuuawa

Serikali ya Kremlin imesalia kimya kwenye vita kati ya Marekani na Israel dhidi ya IranMigogoro02.03.20262 Machi 2026
Ukraine Kyjiw 2026 | Wolodymyr Selenskyj vor Treffen der Koalition der Willigen

Zelensky: Mazungumzo ya Kiev na Moscow kuendelea Abu Dhabi

Zelensky: Mazungumzo ya Kiev na Moscow kuendelea Abu Dhabi

Ikulu ya Urusi Kremlin yasema mazungumzo ya tarehe 5 na 6 mwezi huu mjini Abu Dhabi, ni katika maslahi ya Urusi.Siasa02.03.20262 Machi 2026
 Zaporizhzhia 2026 | Jengo la ghorofa likiteketea baada ya shambulio la ndege zisizo na rubani za Urusi

Urusi yashambulia Kiev huku wapatanishi wakikutana Geneva

Urusi yashambulia Kiev huku wapatanishi wakikutana Geneva

Mashambulizi hayo yametokea wakati maafisa wa Marekani na Ukraine wakikutana Geneva, kwa mazungumzo mapya kumaliza vita.Siasa26.02.202626 Februari 2026Onesha zaidiMatangazoRuka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa

Yenye kuangaziwa

Urusi, Moscow 2021 | Ikoni ya WhatsApp kwenye skrini ya iPhone

WhatsApp yasema Urusi inajaribu kuizuia

WhatsApp imesema kuwa Urusi imejaribu kuizuia programu hiyo katika jaribio la kuipigia chapuo “App ya kitaifa.Uchumi12.02.202612 Februari 2026
Russland | Soldaten

Safari ya kutafuta ajira yawaponza Wakenya, Urusi

Baadhi ya vijana waliosafirishwa wamejikuta wamenaswa katikati ya vita vikali vya Urusi na Ukraine.Janga09.02.20269 Februari 2026
UAE Abu Dhabi 2026 | Rais Mohammed bin Zayed awapokea wajumbe wa mazungumzo ya Ukraine

Ukraine, Urusi zathibitisha mazungumzo mapya UAE

Raia wauawa katika mashambulizi ya droni Ukraine na Urusi, huku pande zote zikijiandaa kwa mazungumzo mapya ya amani UAEMigogoro02.02.20262 Februari 2026
Marekani Washington 2025 | Donald Trump JD Vance na Marco Rubio wakati wa mkutano na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy (hayupo pichani) katika Ikulu ya White House

Mpango wa amani wa Trump unapoleta hofu Ulaya

Juhudi za kuleta amani kati ya Urusi na Ukraine bado hazijafikiwa, tangu mataifa hayo yalipoanza vita mnamo 2022.Migogoro04.12.20254 Desemba 2025
Russland Moskau 2025 | Vladimir Putin rais wa Urusi akiwa mjini Moscow

Wapinzani wa Putin, wamepotea tu lakini hawajasahaulika

Wapinzani wa Putin waliokimbilia uhamishoni ni kama wamepotea tu lakini kiuhalisia bado hawajasahaulika.Siasa20.10.202520 Oktoba 2025
Denmark Copenhagen 2025 | Ursula von der Leyen na Volodymyr Zelenskyy katika Mkutano wa Kilele wa Jumuiya ya Kisiasa ya Ulaya

Ukraine bado yakabiliwa na kizingiti kujiunga na EU

Ukraine inahitaji kuungwa mkono na nchi zote 27 za Umoja wa Ulaya ili kujiunga na jumuiya hiyo, lakini Hungary inazuia.Migogoro08.10.20258 Oktoba 2025Maudhui yote (6318) kwenye mada hii

Từ khóa » Vita Ulusi