Urusi - UN News - The United Nations

Ruka hadi kwenye maudhui kuu / urambazaji Karibu Umoja wa Mataifa

Language

  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Other
    • Hindi हिंदी
    • Urdu اردو
    • Global
United Nations Habari za UN Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu Kiswahili Tafuta Tafuta Tafuta Zaidi

Lugha

  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Other
    • Hindi हिंदी
    • Urdu اردو
    • Global
Habari za UN Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Menu

  • Mwanzo
    • Kimataifa
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
    • Kutoka Maktaba
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Jifunze Kiswahili
    • Makala Maalum
    • Video
    • Siku za UN
    • Udadavuzi
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za UN
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • TV ya Mtandaoni

Lugha

  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Other
    • Hindi हिंदी
    • Urdu اردو
    • Global

Tafuta

Tafuta Tafuta Zaidi

Audio and Subscription

  • Kabrasha la Sauti
  • Sajili

Chuja:

  • Sauti
  • Video
Urusi Ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa unaonyesha matokeo ya kupiga kura kwa azimio la amani nchini Ukraine, na kura 107 za kuunga mkono, 12 dhidi, na 51 kujiepusha. Picha ya UN/Manuel Elías

Miaka minne tangu Urusi ilipofanya uvamizi kamili dhidi ya Ukraine, Umoja wa Mataifa umeadhimisha kumbukizi hiyo leo kwa mjadala wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu mjini New York, uliomalizika kwa kupitishwa kwa azimio la “Msaada kwa amani ya kudumu Ukraine.”

media:entermedia_image:2db0d261-5390-4b51-a112-1b2f4a5c88d4 © UNICEF/Kristina Pashkina

Mateso ya raia nchini Ukraine hayaoneshi dalili yoyote ya kupungua huku maadhimisho ya miaka minne ya uvamizi kamili wa Urusi yakikaribia, wakati mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati, kukatika kwa umeme na baridi kali vikiendelea, yameonya leo mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.

Nembo ya programu ya habari ya sauti ya Umoja wa Mataifa katika lugha ya Kiswahili

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kesho Ijumaa tarehe 13 Februari ikiwa ni ni siku ya Redio Duniani mwaka huu ikijikita katika Redio na Akili tunakupeleka mashariki mwa DRC, kwa George Musubao kutoka Televishen na Radio washirika Canal Victoire Du People Kasindi.

Barabara iliyofunikwa na theluji huko Saltivka, Kharkiv, Ukraine, ikionyesha majengo yaliyoharibiwa na sinema iliyoharibiwa kwa sehemu baada ya mashambulizi. UNHCR inatoa msaada wa dharura kwa jamii zilizoathiriwa. © UNHCR/Yevheniia Kozun

Mratibu mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Kibinadamu nchini Ukraine, Matthias Schmale, amelaani vikali mashambulizi makubwa ya usiku wa kuamkia leo yaliyoendeshwa na Urusi kwa kutumia ndege zisizo na rubani au droni na makombora dhidi ya miji kadhaa mikubwa ya Ukraine, ambayo yamesababisha vifo na majeruhi miongoni mwa raia, pamoja na kuharibu miundombinu ya nishati wakati huu wa baridi kali.

Msichana mwenye umri wa miaka 8 akiwa mbele ya jengo huko Irpin, Ukraine ambapo mama yake na dada yake wanaishi pamoja katika chumba kidogo. © UNICEF/Olena Hrom

Watoto wa Ukraine wanakabiliwa na majira ya baridi mabaya zaidi tangu kuanza kwa vita, huku mashambulizi makali dhidi ya miundombinu ya nishati na maji yakikumbana na baridi kali isiyovumilika, na kusukuma mamilioni ya familia katika mapambano ya kila siku ya kuishi, limeonya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF.

Mwanachama wa wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa anazungumza na wakazi wa kijiji cha Nerubaiske katika mkoa wa Odesa nchini Ukraine. © UNOCHA/Sergii Morozov

Katika mazingira ya mashambulizi ya Urusi yanayoendelea na kuongezeka kote Ukraine, Umoja wa Mataifa umezindua ombi la misaada ya kibinadamu la dola bilioni 2.3 kwa mwaka 2026, kwa lengo la kusaidia watu milioni 4.1 walio hatarini zaidi nchini humo.

Mwonekano wa juu wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu kudumisha amani na usalama wa Ukraine. Picha ya UM/Manuel Elías

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo kuanzia majira ya alasiri kwa saa za New York, Marekani limekutana katika kikao cha dharura kujadili mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani yanayoendelea kufanywa na Urusi dhidi ya raia na miundombinu ya nishati nchini Ukraine, wakati baridi kali ya majira ya baridi ikiendelea kulikumba taifa hilo lililochoshwa na vita.

Hali ya maisha ya watu katika eneo la migogoro Mashariki mwa Ukraine. Picha hii ilipigwa kabla ya vita ya uvamizi wa sasa wa Urusi. © UNHCR/Anastasia Vlasova

Wahudumu wa misaada ya kibinadamu wako eneo la mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, wakikabiliana na athari za shambulio kubwa la usiku lililojeruhi raia na kukatiza huduma za kupasha joto na umeme kwa maelfu ya kaya na shule wakati huu wa hali ya baridi kali, imesema Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu na misaada ya Dharura OCHA.

media:entermedia_image:aa3bdc19-22a9-4ed2-af6f-009e934955af © UNICEF/Oleksii Filippov

Mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa usiku katika siku za hivi karibuni yamesababisha vifo vya raia kadhaa, akiwemo mtoto, na kuharibu wa miundombinu muhimu katika mikoa kadhaa ya Ukraine yamesema leo Mashirika ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.

Mtu akiingia kwenye jengo lililoharibiwa huko Kupiansk mashariki mwa Ukraine. © Humanitarian Mission Proliska/Jose Colon

Mwaka 2025 ni Miongoni mwa miaka iliyokuwa na vifo vingi kwa Ukraine, amesema alisema leo Kayoko Gotoh, Mkurugenzi wa masuala ya Ulaya na Asia ya Kati na Kaimu Mkuu wa Ulaya, Asia ya Kati na Amerika katika Idara za Masuala ya Kisiasa, Ujenzi wa Amani na Operesheni za Amani za UN.

Pagination

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5

Date

  • 2026
  • 2025
  • 2024
  • 2023
  • 2022
  • 2021
  • 2020
  • 2019
  • 2018

SIKILIZA HABARI ZA UN

Habari za UN kwenye X Mama akiwa na watoto wake na virago mjini Goma, DRC

Maalum

Mashariki ya Kati Ukraine SYRIA DR CONGO ROHINGYA BURUNDI SOMALIA Soma Zaidi

Từ khóa » Vita Urusi Na Ukraine